Watoa mada Frank Msuku(Kulia) na James Kapele wakipitia makabrasha kabla ya kuanza kutoa mada kwenye warsha hiyo ya siku moja iliyofadhiliwa na shirika la The Foundation For Civil Society
Diwani wa kata ya Kasisiwe Bw.Mavazi akizungumza jambo wakati akifungua warsha hiyo
Washiriki na wakufunzi wakiwa katika picha ya pamoja
Muelimishaji James Kapele akitoa mada
Mmoja wa wajumbe wa AMAWAWA mwalimu Chaka akihoji jambo
Katibu wa AMAWAWA Bw.Milambo akiwaelekeza washiriki namna ng'ombe waliofugwa katika shamba darasa la Amawawa walivyo katika aina tofauti
Mwenyekiti wa Amawawa Bw.Oscar Msangi akibainisha namna ng'ombe hao walivyotofautiana katika uwezo wa kutoa maziwa
No comments:
Post a Comment