Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, September 30, 2014

SHUGHULI YA UJENZI WA MAKABURI YA FAMILIA YA NDG.BENJAMIN MWENDA MKOANI NJOMBE

Nuru Benjamini Mwenda akiwa amepiga magoti kwenye kaburi la Baba yake mzee Benjamini mada baada ya kukamilika kwa shughuli za ujenzi wa makaburi manne likiwemo la mzee huyo.
Awali wakati shughuli ya ujenzi ikiwa inaendelea.Kushoto ni MC maarufu mkoani Mbeya Ben Benjamini ambaye ni mtoto wa Mzee Benjamini akishiriki katika shughuli za ujenzi.
Mke wa Marehemu Benjamini akiwa katika kaburi la mumewe pamoja na shemeji yake Victor na mtoto wa Marehem Benno

















 Bosco Benjamini Mwenda akiwa katika kaburi la baba yake mzazi marehemu mzee Benjamini Mwenda


 MC Ben Benjamini maarufu kama Duble B baaada ya kukamilisha ujenzi wa makaburi mne likiwemo la baba yake mzazi.

No comments:

Post a Comment