Nuru Benjamini Mwenda akiwa amepiga magoti kwenye kaburi la Baba yake mzee Benjamini mada baada ya kukamilika kwa shughuli za ujenzi wa makaburi manne likiwemo la mzee huyo.
Awali wakati shughuli ya ujenzi ikiwa inaendelea.Kushoto ni MC maarufu mkoani Mbeya Ben Benjamini ambaye ni mtoto wa Mzee Benjamini akishiriki katika shughuli za ujenzi.
Mke wa Marehemu Benjamini akiwa katika kaburi la mumewe pamoja na shemeji yake Victor na mtoto wa Marehem Benno
Bosco Benjamini Mwenda akiwa katika kaburi la baba yake mzazi marehemu mzee Benjamini Mwenda
MC Ben Benjamini maarufu kama Duble B baaada ya kukamilisha ujenzi wa makaburi mne likiwemo la baba yake mzazi.
No comments:
Post a Comment