Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu
wakikagua eneo la Bandari ya Itungi lililokuwa limejaa mchanga awali na mchanga
huo kuondolewa na maji ya mafuriko ya Aprili mwaka jana
Mkuu wa Bandari ya Kyela Parcival Salama akitoa maelezo ya Bandari ya Itungi kwa waziri wa Miundombinu Dk Harison Mwakyembe na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Miundombinu.
Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Ndugu Joachim Nyambo akiwa katika boti na baadhi ya wajumbe wa kamati ya bunge ya miundombinu kukagua bandari ya Itungi.
No comments:
Post a Comment