Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, March 31, 2015

UHARIBIFU WA MAZINGIRA CHUNYA

 Ng'ombe wakiwa katika eneo oevu la Ziwa Rukwa upande wa eneo la wilaya ya Chunya.Uingizwaji wa mifugo katika eneo hili umekuwa ukitajwa kuchangia uharibifu mkubwa wa mazingira na kuhatarisha uhai wa ziwa hilo.
Wachimbaji wadogo wa madini katika kata ya Matundasi wilayani Chunya wakiendelea na utafutaji wa madini aina ya dhahabu katika moja ya mabonde ambayo ni vyanzo vya maji ya mto Lupa ambao hutiririsha maji yake ziwa Rukwa.

No comments:

Post a Comment