Hapo sasa!, Band yetu ya jiji la Mbeya inayopiga
muziki wa Bongo Rumba kwa style ya miondoko ya dollale ndani ya Club K-Mo
Kiwira Motel MOON LIGHT BAND,sikukuu ya IDDI Watahama kiwanja watakuwa wakiwapa
Maraha watu wa mpaka wa Malawi na Tanzania wilayani Kyela kwa ubora wao,
Usikoseeeeee....mkurugenzi wa Band Bob Lau anakujuzaaaa...
No comments:
Post a Comment