- Kwa mujibu wa chanzo kisichokuwa rasmi inadaiwa kuwa kuna vijana wasiofahamika walifungua koki ya gari hilo na kusababisha kadhia hiyo.
Wengine wanasema Teja kachafua hali ya hewa leo ubungo walizoea kufungua koki za magari ya mafuta ili kukinga mafuta yaliyobaki kwenye tanki sasa leo hakuangalia kwa makini kilichokuwepo kwenye gari na hakusoma kuwa limeandikwa MAJI TAKA sasa kilichotokea baada ya kufungua ndo hiki alijikuta anaoga maji haya full kunuka unyunyu
No comments:
Post a Comment