Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, June 5, 2024

𝐊𝐈𝐊𝐎𝐒𝐈 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐂𝐇𝐀 𝐅𝐄𝐈𝐒𝐀𝐋 2023-2024

 

Kiungo wa Azam FC Feisal Salum Ameorodhesha Kikosi chake Bora Msimu huu 2023/24 akihojiwa na Televisheni Fulani Nchini.

Katika Kikosi hicho :-
🇲🇱 Djigui Diarra __ Young Africans
🇨🇮 Koussi yao __ Young Africans
🇹🇿 Pascal Msindo __ Azam FC
🇹🇿 Ibrahim Bacca __ Young Africans
🇨🇴 Fuentes Mendoza ___ Azam FC
🇺🇬 Khalid Aucho ___ Young Africans
🇨🇮 Pacome Zouazoa __Young Africans
🇹🇿 Mudathiri Yahya ___ Young Africans
🇨🇮 Joseph Guede ___ Young Africans
🇹🇿 Feisal Salum ___ Azam FC
🇧🇫 Stephen Azizi Ki ___ Young Africans
Wachezaji Nane (😎 Kutoka Yanga na Wachezaji (3) Kutoka Klabu ya Azam FC ndiyo Wameunda Kikosi cha Feisal Salum cha Msimu huu 2023-2024.