Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, May 7, 2024

NYOTA WA TAIFA STARS WATAKAOKWENDA SAUDI ARABIA KWA MECHI MBILI ZA KIRAFIKI

 Hiki hapa kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kitakachokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Sudan.

Kikosi hicho kitaanza safari kesho Mei 8, 2024.

No comments:

Post a Comment