Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, June 30, 2024

JE NI KWELI YANGA YA SASA HAIACHI KOMBE?


Unaambiwa ukianzisha kombe lolote waambie Yanga.

Full Time — Safari Champions 1 - 4 Yanga SC.
⚽️ Omary Mfaume
⚽️ Shekhan
⚽️ Prosper
⚽️ Hussein
ℹ️ Safari lager FC ni timu iliyoundwa baada ya kutafutwa kwa vipaji katika mikoa minne ambayo ni Mbeya, Arusha, Mwanza na Dar es Salaam.

Mchujo ulianza tangu mwaka jana (2023) chini ya Makocha Sekirojo Chambua, Jamhuri Kihwelo 'Julio' na Alberto Pereira.
Idadi ya wachezaji kila Mkoa :
◉ 8 - Mbeya.
◉ 4 - Mwanza.
◉ 5 - Dar es Salaam.
◉ 5 - Arusha.
Note : Haya ni sehemu ya maandalizi ya kujenga kikosi imara cha baadae cha timu ya Taifa "Taifa Stars"

No comments:

Post a Comment