Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, July 2, 2024

BONANZA BAAAB KUBWA KUFANYIKA WEEKEND HII

 


Timu ya watumishi ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya inataraji kwenda Jijini Mbeya Mwishoni mwa wiki hii July 6, 2024 Kushiriki katika Bonanza la Watumishi Lililoandaliwa na Afisa Michezo Mkoa wa Mbeya, litakalofanyika katika Uwanja wa Sokoine

Timu hii ya Watumishi wilaya ya Chunya katika Mechi nne mfululizo haijafungwa na inakwenda Mbeya kulinda heshima na Hadhi ya Wilaya ya chunya

No comments:

Post a Comment