Timu ya watumishi ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya inataraji kwenda Jijini Mbeya Mwishoni mwa wiki hii July 6, 2024 Kushiriki katika Bonanza la Watumishi Lililoandaliwa na Afisa Michezo Mkoa wa Mbeya, litakalofanyika katika Uwanja wa Sokoine
Timu hii ya Watumishi wilaya ya Chunya katika Mechi nne mfululizo haijafungwa na inakwenda Mbeya kulinda heshima na Hadhi ya Wilaya ya chunya
No comments:
Post a Comment