Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, December 21, 2023

FAINALI LIGI YA MKOA STELLA FIYAO CUP SONGWE FURAHA NYINGINE YA X-MASS

 


FINAL LIGI YA MKOA STELLA FIYAO CUP SONGWE. kupigwa tarehe 24/12/2023 katika viwanja vya Tunduma day Sekondari iliyopo tunduma Kati ya MKWAJUNI FC kutoka Wilaya ya SONGWE na LAMBYA FC kutoka wilaya ya ILEJE kuanzia majira ya saa kumi jioni shamlashamla za fainal zitaanza mapema sana mwambie rafiki ni bonge Moja la fainal.LIGI YA MKOA STELLA FIYAO CUP 2023/2024 IMEDHAMINIWA NA MBUNGE VITI MAALUMU MKOA SONGWE MH.STELLA FIYAO