FINAL LIGI YA MKOA STELLA FIYAO CUP SONGWE. kupigwa tarehe 24/12/2023 katika viwanja vya Tunduma day Sekondari iliyopo tunduma Kati ya MKWAJUNI FC kutoka Wilaya ya SONGWE na LAMBYA FC kutoka wilaya ya ILEJE kuanzia majira ya saa kumi jioni shamlashamla za fainal zitaanza mapema sana mwambie rafiki ni bonge Moja la fainal.LIGI YA MKOA STELLA FIYAO CUP 2023/2024 IMEDHAMINIWA NA MBUNGE VITI MAALUMU MKOA SONGWE MH.STELLA FIYAO