Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, February 26, 2013

Je unakumbuka Kibanga ampiga mkoloni,Siku ya gulio Katerelo,Chilunda apambana na chui,Ndoto za kimweri,Pamela na kipini,Watoto wageuka mawe,Sizitaki mbichi hizi,Brown ashika tama,Lindu amuokoa kapilima,Pepe huna masikio,Sisimizi shujaa,Tembo na chura,Chopeko na mnofu,Tola mla gizani,Tumbo niache nimwachie manenge uji

No comments:

Post a Comment