Meneja mauzo wa Kampuni ya SBL mkoani Mbeya, Karolina Mwamaso( kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya Shilingi 500,000 kwa mshindi wa promosheni ya Maokoto inayoemndeshwa hiyo, Patrick Mrema wa jijini Mbeya katika hafla iliyofanyika New City Pub jijini Mbeya(Na Mpigapicha Wetu)
Saturday, January 13, 2024
Thursday, January 11, 2024
DK. TULIA ASHIRIKI BONANZA LA PAMOJA ZANZIBAR
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki Bonanza la pamoja lililohusisha michezo mbalimbali kati ya Baraza la Wawakilishi Sport club, Bunge Sport club na NMB Sport Club lililofanyika Visiwani Zanzibar leo tarehe 11 Januari, 2024
Subscribe to:
Posts (Atom)