Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, February 5, 2013

BREAKING NEWZZZZZZZZZZ

HABARI TULIZOPATA HIVI PUNDE NI KUWA ASKARI WA JESHI LA POLISI ANADAIWA KUUAWA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI KATI YA ASKARI WA JESHI HILO NA MAJAMBAZI WALIOTAKA KUVAMIA DUKA MOJA MKWAJUNI WILAYANI CHUNYA MKOANI MBEYA.KWA HABARI ZAIDI ENDELEA KUWA NASI.......................

No comments:

Post a Comment