Mtoto Myla Benjamini akisaidiwa na mshereheshaji
Brandy Nelson kukata keki wakati wa Sherehe yake ya kumbukumbu ya kuzaliwa iliyofanyika
Februari 14 akiwa anatimiza miaka minne nyumbani kwao Mbalizi wilayani Mbeya.
Mtoto Myla Benjamini akikata keki tayari kwa kuwalisha waalikwa wakati wa Sherehe yake ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake iliyofanyika
Februari 14 akiwa anatimiza miaka minne.
No comments:
Post a Comment