Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, June 30, 2014

HII INA TAFSIRI NINI,JE NI KUWAHADAA WAPIGA KURA KWAAJILI YA UCHAGUZI MKUU UJAO AU NI MAPENZI MEMA KWA WAPIGA KURA NA KUONESHA UCHUNGU KWA RASILIMALI ZA TAIFA??????/

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akiwa katika usafiri wa Baiskeli akienda kutembelea wapiga kura wake kata ya Ifunda eneo la Kivalali wiki iliyopita ,kandop ni wananchi na viongozi wa kata hiyo. Mbunge Mgimwa akisalimiana na wanakikundi cha burudani Kivalali kata ya Ifunda SWALI LA MSINGI KWA WAPIGA KURA KUJIULIZA NI JE,HARAKATI HIZI ZA KUTETEA RASILIMALI ZA TAIFA KWA MBUNGE WAO KUFANYA ZIARA KWA KUTUMIA USAFIRI WA NAMNA HII ZITAKUWA ENDELEVU?NA JE KABLA KABLA YA UBUNGE ALIWAHI KUWATEMBELEA AKITUMIA USAFIRI WA AINA HII?NA JE IPO SIKU TUTAMUONA AKIENDA DODOMA KWA KUTUMIA USAFIRI HUU?

No comments:

Post a Comment