CHINI-Mamia ya Abiria wakiwa wamelazimika kutoendelea na
safari juzi baada ya gari za abiria na mizigo zinazofanya safari zake kati ya
jijini Mbeya-Chunya hadi Tabora na Singida kukwama katika kata ya Matundasi
wilayani Chunya kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha.
No comments:
Post a Comment