Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, April 17, 2018

ABIRIA WAKWAMA KWA MUDA WILAYANI CHUNYA


 CHINI-Mamia ya Abiria wakiwa wamelazimika kutoendelea na safari juzi baada ya gari za abiria na mizigo zinazofanya safari zake kati ya jijini Mbeya-Chunya hadi Tabora na Singida kukwama katika kata ya Matundasi wilayani Chunya kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha.




No comments:

Post a Comment