Mwanafunzi wa darasa la tano katika shule
ya msingi Mapogoro iliyopo wilayani Chunya Lusia Mawazo(10) akiwa amemmeba
mdogo wake aitwaye Musa Mawazo walipoungana na wakazi wengine wa kijiji cha
Mapogoro kusikiliza hotuba ya balozi wa Denimaki John Fratq alipotembelea mradi
wa hifadhi ya msitu iliyopo kijijini hapo.(Picha na Joachim Nyambo)
No comments:
Post a Comment