Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, January 8, 2016

KIWANDA CHA KUTENGENEZA SABUNI CHA HI SOAP MBEYA SASA CHAANZA KULIMA BANGI

Sehemu ya mimea ya bangi ikiwa imepandwa pamoja na maharage ndani ya eneo la kiwanda cha sabuni cha Hi Soap jijini Mbeya kama ilivyokutwa na wanachama wa Chama cha waandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania(TAJATI).Kiwanda hiki kimetelekezwa kwa zaidi ya miaka 10 sasa na haijulikani mwekezaji yupi alibinafsishiwa

No comments:

Post a Comment