KIWANDA CHA KUTENGENEZA SABUNI CHA HI SOAP MBEYA SASA CHAANZA KULIMA BANGI
Sehemu ya mimea ya bangi ikiwa imepandwa pamoja na maharage ndani ya eneo la kiwanda cha sabuni cha Hi Soap jijini Mbeya kama ilivyokutwa na wanachama wa Chama cha waandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania(TAJATI).Kiwanda hiki kimetelekezwa kwa zaidi ya miaka 10 sasa na haijulikani mwekezaji yupi alibinafsishiwa
No comments:
Post a Comment