Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, December 27, 2016

MBUNGE ATOA MSAADA WA BATI

 Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akipokea msaada wa mabati 2000 kutoka kwa mbunge wa Mbarali Phil Mohamed kwaajili ya ukamilishaji wa ujenzi wa vyoo katika shule za msingi na sekondari wilayani Mbarali
 mbunge wa Mbarali Phil Mohamed

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla 

No comments:

Post a Comment