Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, December 1, 2016

SITA WAFA KATIKA AJALI MKOANI RUKWA,WALIKUWA WAKITOKEA NAMANYERE KWENDA SUMBAWANGA


Gari iliyopata ajali.


Gari iliyopata ajali.


Gari iliyopata ajali


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kamishna Mstaafu Zelote Stephen (kushoto) akipata maelezo ya kina ya majeruhi wa ajali akiwa na  Daktari Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa John Lawi 


Siti za Mbele kwa Dereva za gari hiyo


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kamishna Mstaafu Zelote Stephen (katikati) Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Mh. Said Mtanda kushoto pamoja na RTO Sadik Msangi wakiwa katika eneo la tukio la ajali


Katika tukio la jali

No comments:

Post a Comment