Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, February 13, 2018

ZIARA YA TAJATI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA KITULO

 Wanachama wa Chama cha waandishi wa habari za Utalii na Uwekezaji nchini(TAJATI) akipiga picha katika Maporomoko ya Mto Mwakipembo uliopo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo walipofanya ziara ya siku moja hifadhini humo.
Ziara ilianza namna hii.Hapa ni katika barabara kuelekea kijiji cha Kikondo kabla ya kufika ndani ya hifadjhi ya Kitulo. 
 Ni ziara iliyotawaliwa na hali ya ukungu wakati mwingi,huku ubaridi ukiwa wa hali ya juu pia. 

 Hatimaye ndani ya Hifadhi na hapa ndiyo sehemu iliyotumika kuwasubiri wenzetu waliobakia nyuma ili tuweze kuungana na kuanza ziara ndani ya hifadhi hii ya kipekee. 















































No comments:

Post a Comment