Mkuu wa wilaya ya Momba Juma Irando akisikiliza
maelezo ya maafa ya kimbunga cha upepo ulioambatana na mvua yaliyotokea
mwishoni mwa mwaka jana katka kata ya Ivuna wilayani hapo.
Mkuu wa wilaya ya Momba Juma Irando akikagawa msaada
wa vyakula kwa baadhi ya waathirika wa Kimbunga cha upepo kilichoambatana na
mvua katika kata ya Ivuna wilayani Momba.
No comments:
Post a Comment