Mkuu wa wilaya ya
Rungwe mkoani Mbeya Crispin Meela (Mwenye kofia waliokaa) akiwa katika picha ya
pamoja na waliokuwa wachezaji wa timu ya Tukuyu stars mwaka 1986 ilipovuma na
kuchukua ubingwa wa ligi kuu Tanzaniua bara.Meela na wachezaji hao walipiga
picha hii katika bonanza la kuhamasisha kufufuliwa kwa timu hiyo lililofanyika
katika mji mdogo wa Tukuyu
Mkuu wa wilaya ya
Rungwe Crispin Meela akijiandaa kupiga mpira wa penati kama ishara ya kuzindua
bonanza la kuhamasisha kufuful;iwa kwa timu ya Tukuyu Stars lililofanyika jana
katika mji mdogo wa Tukuyu wilayani hapo na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali
wakiwemo kikundi cha Tukuyu Stars Family(Banyambala) cha jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment