Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, August 7, 2012

BONANZA LA KUFUFUA TUKUYU STARS

 Mkuu wa wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya Crispin Meela (Mwenye kofia waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na waliokuwa wachezaji wa timu ya Tukuyu stars mwaka 1986 ilipovuma na kuchukua ubingwa wa ligi kuu Tanzaniua bara.Meela na wachezaji hao walipiga picha hii katika bonanza la kuhamasisha kufufuliwa kwa timu hiyo lililofanyika katika mji mdogo wa Tukuyu
Mkuu wa wilaya ya Rungwe Crispin Meela akijiandaa kupiga mpira wa penati kama ishara ya kuzindua bonanza la kuhamasisha kufuful;iwa kwa timu ya Tukuyu Stars lililofanyika jana katika mji mdogo wa Tukuyu wilayani hapo na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo kikundi cha Tukuyu Stars Family(Banyambala) cha jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment