Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, August 2, 2012

MAHAKAMA KUU YAWATAKA WALIMU KUSITISHA MGOMO


MAHAKAMA KUU KITENGO CHA KAZI IMEPIGA STOP MGOMO WA WALIMU KWA MAELEZO KWAMBA HATUA ZILIZOPITIWA KUUFANYA NI BATILI. tAARIFA AMBAZO MTANDAO HUU UMEPATA ZINASEMA, MAHAKAMA HIYO IMEMTAKA KIONGOZI ALIYETANGAZA MGOMO HUO, KUTANGAZA MARA MOJA KUUSITISHA.

No comments:

Post a Comment