Shilole na Sharomilionea
"Nikiamka na hela kwenye wallet
siku yangu huianza na tabasamu tele.Nisipoamshwa na simu ya habari mbaya
na kubwa zaidi nipatapo maoni mazuri na ya kutia moyo kutoka kwa fans
wangu"...Sharo milionea.
''Nikiamka salama,nikiwa sina
binadamu yoyote anayenisumbua na kuniskosesha amani,gari yangu ikiwa
full tank na nikiwa na pesa kwenye waleti"...Shilole"Kwanza nina meno mazuri masafi na meupe yamejipanga vizuri,pia napenda kucheka sijui kukasirika hata nikikerwa"...Barnaba
No comments:
Post a Comment