Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, August 2, 2012

WASIKILIZE SHAROMILIONEA,SHILOLE NA BARNABA

Shilole na Sharomilionea
"Nikiamka na hela kwenye wallet siku yangu huianza na tabasamu tele.Nisipoamshwa na simu ya habari mbaya na kubwa zaidi nipatapo maoni mazuri na ya kutia moyo kutoka kwa fans wangu"...Sharo milionea.
 ''Nikiamka salama,nikiwa sina binadamu yoyote anayenisumbua na kuniskosesha amani,gari yangu ikiwa full tank na nikiwa na pesa kwenye waleti"...Shilole
"Kwanza nina meno mazuri masafi na meupe yamejipanga vizuri,pia napenda kucheka sijui kukasirika hata nikikerwa"...Barnaba

No comments:

Post a Comment