Mwanamke ambaye
hakufahamika jina lake akiwa amenasa katika seng'enge alipojaribu kutumia njia
isiyo halali kufika lilipo bwawa dogo la maji aliyokuwa akiyahitaji kwaajili ya
matumizi katika Uwanja wa maonesho ya wakulima(Nane nane )kanda ya nyanda za
juu kusini wa John Mwakangale jijini Mbeya
Watoa huduma za
vyakula katika uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya yanakofanyika maonesho ya
wakulima nanenane kanda ya nyanda za juu kusini wakiendelea kuwatayarishia
wateja wetu kama walivyokutwa na kamera yetu muda mfupi uliopita
ALIYENASA HUYO AKOME LAKINI YAWEZEKANA NI MAISHA MAGUMU NDIO MAANA HATA KUPATA SHILINGI MIA 300 NGUMU LAKINI PIA HAO HUWEZA KUWA VIBAKA KAMA MIA 3 HANA ANAINGIA KUFANYA NINI KAMA SIO KUDOKOA...
ReplyDelete