Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, August 13, 2015

CRDB WAMEFIKAAAAAA!!!!!!

 Mhariri mkuu wa blogu ya Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo akiwa na mfano wa kadi ya malipo katika huduma za afya.


 Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akizungumza na waanyakazi katika hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya.
 Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles Kimei na Kaimu mkurugenzi wa hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya Myriam Msalale wakiwa na mfano wa kadi itumikayo kulipia malipo kwaajili ya huduma za afya.
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles Kimei na Kaimu mkurugenzi wa hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya Myriam Msalale wakiwa na watumishi wengine wa hospitali hiyo wakiwa na mfano wa kadi itumikayo kulipia malipo kwaajili ya huduma za afya

No comments:

Post a Comment