Mhariri mkuu wa blogu ya Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo akiwa na mfano wa kadi ya malipo katika huduma za afya.
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles
Kimei akizungumza na waanyakazi katika hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya.
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles
Kimei na Kaimu mkurugenzi wa hospitali ya Rufaa
kanda ya
Mbeya Myriam Msalale wakiwa na mfano wa kadi itumikayo kulipia malipo kwaajili ya huduma za
afya.
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles
Kimei na Kaimu mkurugenzi wa hospitali ya Rufaa
kanda ya
Mbeya Myriam Msalale wakiwa na watumishi wengine wa hospitali hiyo
wakiwa na mfano wa kadi itumikayo kulipia malipo kwaajili ya huduma za
afya
No comments:
Post a Comment