Meneja mkuu wa kampuni ya Bima ya Maisha ya Sanlam nchini Wilson Mnzava akizungumza jambo kabla ya kukabidhi pikipiki nne zenye thamani ya shilingi milioni 10.
Kamanda wa Polisi mkoani Songwe Mathias Nyange akie;lezea uhaba wa vitendea kazi unaolikabili jeshi la polisi mkoani Songwe.
Chifu wa Usafirishaji na Lojistiki,Naibu Kamishina
wa Polisi Shabani Mrai Hiki na Meneja mkuu wa kampuni ya Bima ya Maisha ya
Sanlam nchini Wilson Mnzava wakikabidhiana pikipiki nne zilizotolewa na kampuni
hiyo kwaajili ya Jeshi la polisi mkoani Songwe.
No comments:
Post a Comment