Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, November 30, 2016

POLISI SONGWE WAPEWA MSAADA WA PIKIPIKI

Chifu wa Usafirishaji na Lojistiki,Naibu Kamishina wa Polisi Shabani Mrai Hiki na Meneja mkuu wa kampuni ya Bima ya Maisha ya Sanlam nchini Wilson Mnzava wakikata utepe kama ishara ya kukabidhiana pikipiki nne zilizotolewa na kampuni hiyo kwaajili ya Jeshi la polisi mkoani Songwe.

 Meneja mkuu wa kampuni ya Bima ya Maisha ya Sanlam nchini Wilson Mnzava akizungumza jambo kabla ya kukabidhi pikipiki nne zenye thamani ya shilingi milioni 10.
 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe Mathias Nyange akie;lezea uhaba wa vitendea kazi unaolikabili jeshi la polisi mkoani Songwe.
 Chifu wa Usafirishaji na Lojistiki,Naibu Kamishina wa Polisi Shabani Mrai Hiki na Meneja mkuu wa kampuni ya Bima ya Maisha ya Sanlam nchini Wilson Mnzava wakikabidhiana pikipiki nne zilizotolewa na kampuni hiyo kwaajili ya Jeshi la polisi mkoani Songwe.








No comments:

Post a Comment