Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako akikagua daftari za wanafunzi wa darasa la Pili katika shule ya Msingi Malema iliyopo katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe.Nyuma yake ni Mwalimu mkuu wa shule hiyo Francisca Kalewa
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako akishiriki kucheza na wanafunzi wa shule ya msingi Malema iliyopo katika halmashauri ya Busokeo wilayani Rungwe.
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako akisalimiana na viongozi na wakuu wa Idara katika Halmashauri ya Busokelo
Wakazi wa kijiji cha Malema kilichopo katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe wakimsikiliza Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako(hayupo pichani) allipofanya mkutano wa hadhara kijijini hapo baada ya kufanya ziara ya kukagua maendeleo ya elimu wilayani hapo
No comments:
Post a Comment