Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, September 25, 2013

7 WAJISHINDIA PIKIPIKI ZA AMSHA MAISHA YAKO NA COCA COLA

Mmoja wa washindi wa promosheni ya Amsha maisha na Cocacola inayoendelea Bahati Mapula mkazi wa Ipinda wilayani Kyela akijaribu kuendesha pikipiki aina ya Honda yenye thamani ya shilingi milioni 2.5 baada ya kukabidhiwa jana akiwa amembeba meneja wa kiwanda cha Cocacola Kwanza Gary Pay.Jumla ya pikipiki saba zilikabidhiwa kwa washindi huku washindi wengine wawili wakikabidhiwa fedha taslimu shilingi milioni moja kila mmoja na wengine wanne wakikabidhiwa laki tano kila mmojaMmoja wa washindi wa promosheni ya Amsha maisha yako na Cocacola inayoendelea mkazi wa Vwawa wilayani Mbozi Alfred Mpepela akipunga mkono kufurahia zawadi ya pikipiki aina ya Honda yenye thamani ya shilingi milioni 2.5 baada ya kukabidhiwa.Kushoto kwake ni meneja wa kiwanda cha Cocacola Kwanza Gary Pay akifuatiwa na Meneja mauzo na masoko Jaynti Vekaria.Jumla ya pikipiki saba zilikabidhiwa kwa washindi huku washindi wengine wawili wakikabidhiwa fedha taslimu shilingi milioni moja kila mmoja na wengine wanne wakikabidhiwa laki tano kila mmoja

No comments:

Post a Comment