DIWANI WA CHADEMA MBARONI AKITUHUMIWA KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI
DIWANI wa kata ya Kiwira wilayani Rungwe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Laurent Mwakalibure(28) anashikiliwa na polisi akikabiliwa na tuhuma za kufanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya msingi Kiwira.
No comments:
Post a Comment