Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, September 14, 2013

DIWANI WA CHADEMA MBARONI AKITUHUMIWA KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI

DIWANI wa kata ya Kiwira wilayani Rungwe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Laurent Mwakalibure(28) anashikiliwa na polisi akikabiliwa na tuhuma za kufanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya msingi Kiwira.

No comments:

Post a Comment