Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, April 23, 2014

MAFURIKO KYELA

Baadhi ya wakazi wa eneo la Kajunjumele wakilazimika kupita katika maji katika barabara ya kutoka mjini Kyela kwenda bandari mpya ya Kiwira iliyopo wilayani Kyela baada ya barabara kufunikwa na maji kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Mbeya ikiwemo wilaya ya Rungwe ambayo maji yake hutiririka wilayani Kyela kabla ya kuingia ziwa Nyasa

No comments:

Post a Comment