Baadhi ya wakazi wa eneo la Kajunjumele wakilazimika kupita katika maji katika barabara ya kutoka mjini Kyela kwenda bandari mpya ya Kiwira iliyopo wilayani Kyela baada ya barabara kufunikwa na maji kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Mbeya ikiwemo wilaya ya Rungwe ambayo maji yake hutiririka wilayani Kyela kabla ya kuingia ziwa Nyasa
No comments:
Post a Comment