Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, April 12, 2014

WAENDESHA BODA BODA 37 WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA VURUGU ZA JANA

Waendesha boda boda waliofikishwa mahakamani wakisubiri kusomewa mashitaka yao mara baada ya kufikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Mbeya mjini.

No comments:

Post a Comment