Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, April 4, 2014

VITUKO MTAANI

SIJUI TRAFIC HUYU KAMA ATATOZA FAIN MPAKA YA KUBEBA KUKU AU LA! KAZI IPO!JAMAA HAONI SHIDA KUKATISHA NA FISI MTAANI.USTAARABU HAPA F WAKATI SUMATRA WAKIPIGA MARUFUKU WATOTO WENYE UMRI WA CHINI YA MIAKA 9 KUBEBWA KATIKA BODA BODA NA BAJAJI KWETU MAMBO YAKO HIVI.

No comments:

Post a Comment