Maneno yaliyowekwa katika ukurasa wa FB wa Yanga yanaeleza hiviiiii......
”Nimeomba
kuuzwa na tayari barua ipo mezani kwenye ofisi ya Yanga na nimewatajia
mahali ninapopenda kuuzwa, nimeomba kuuzwa ili wasiingie hasara
kwasababu walininunua kwa pesa nyingi. Sababu kubwa ya maamuzi Yangu
haya ni nafasi finyu ya kucheza niliyonayo katika kikosi cha Yanga
kutokana ubora walionao wenzangu wanaocheza nafasi niichezayo na
wanatimiza majukumu yao ipasavyo na kuitendea haki nafasi hiyo”, amesema
Nonga.
Nonga ameongeza kuwa uamuzi huo ni wakwake mwenyewe na
wala hajashurutishwa, ”Maamuzi haya ni yangu binafsi sijashurutishwa na
mtu, nafanya hivi ili nijaribu kukinusuru kipaji changu”, aliongeza Paul
Nonga.
Je kuna ukweli ndani yakeeee!!!! Na tusubiriii majibu hapa hapa Lyamba Lya Mfipaaaa!
No comments:
Post a Comment