Mstahiki Meya wa jiji la Mbeya Dour Issa Mohamed ambae pia ni mlezi wa klabu ya Mbeya City amesema hakuna mchezaji yoyote anayedai mshahara kama inavyoripotiwa na baadhi ya wadau wa soka...!!
Ameyasema hayo wakati Taasisi ya Tulia Trust ikizindua zoezi la ugawaji wa jezi za mashabiki wa Mbeya City kutoka Kata zote 36 ndani ya jiji la Mbeya kwa lengo la kuhamasisha michezo....!!
Hata hivyo ameongeza kuwa wadau na mashabiki wanapaswa kushikimana ili kuhakikisha kikosi chao kinamaliza vizuri michezo yao miwili iliyosalia ya kumaliza msimu wa mwaka 2022/2023 dhidi ya Yanga pamoja na KMC.
No comments:
Post a Comment