Klabu ya Soka ya Tanzania Prisons imepiga marufuku wachezaji wake kucheza michezo ya ligi za mchangani maarufu kama Ndondo Cup katika kipindi hiki cha kuelekea kumalizika kwa msimu wa ligi kuu ya NBC 2022/23.
Ofisa
habari wa Prisons, Jackson Mwafulango amesisitiza kuwa ni marufuku wakati ligi
ikiwa bado haijamalizika mchezaji wao kuchezea ndondo Cup na kusisitiza kuwa mchezaji
yeyote atakaebainika atachukuliwa hatua za kisheria.
CREDIT TO SHABAN
NASSORO
No comments:
Post a Comment