Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, May 5, 2023

WCB KUPAMBA KILELE CHA TULIA TRUST MARATHON 2023


Wasanii kutoka kundi la WCB wakiongozwa na Nasib Abdul maarufu kama Dimond Plutnamz kesho wanaungana na wasanii wengine katika kuyapamaba mashindano ya mbio ya Tulia Marathon 2023 ambayo yaliyoanza jana.

Kwa mujibu wa Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano cha Tulia Trust ,Joshua Mwakanolo wasanii wengine watakaoongozana na Dimond kutoka WCB ni Raymond Mwakyusa(Rayvan), Zuhura Othman Soud(Zuchu) na Mbwana Yusuph Kilungi(Mbosso)

No comments:

Post a Comment