Wasanii kutoka kundi la WCB wakiongozwa na Nasib Abdul maarufu kama Dimond Plutnamz kesho wanaungana na wasanii wengine katika kuyapamaba mashindano ya mbio ya Tulia Marathon 2023 ambayo yaliyoanza jana.
Kwa mujibu wa Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano cha Tulia Trust ,Joshua Mwakanolo wasanii wengine watakaoongozana na Dimond kutoka WCB ni Raymond Mwakyusa(Rayvan), Zuhura Othman Soud(Zuchu) na Mbwana Yusuph Kilungi(Mbosso)
No comments:
Post a Comment