Mkurugenzi wa kikosi cha KenGold FC Keneth Mwakyusa Mwambungu amepanga kufanya maboresho makubwa katika timu hiyo kuelekea msimu ujao wa ligi ya Championship...!!
Mwambungu amesema baada ya kumalizika ligi wamefanya tathimini na kubaini mapungufu mbalimbali hivyo wanaanza kuyafanyia kazi mapema....!!
Nae Katibu mkuu wa KenGold Benson Mkocha ameongeza kuwa baada ya kushindwa kufikia malengo ya kupanda ligi wameona waanze upya ambapo hivi karibuni wataanza kutangaza utaratibu wa namna gani watafanya usajili...
No comments:
Post a Comment