Wednesday, January 30, 2013
TALAKA (2)
KUACHANA/TALAKA
TALAKA ni amri inayotolewa na mahakama kuwaamuru wanandoa kuachana milele.Mume au mke anaweza kuiomba mahakama itoe talaka
MATOKEO YA KUACHANA/TALAKA
(i)Ndoa kuvunjika
(ii)Mgawanyo wa mali zilizochumwa kwa pamoja na wanandoa
(iii)Matunzo na malezi ya watoto kama wapo
MUHIMU
Kwa kawaida hairuhusiwi kuvunja/kutenganisha au kuomba talaka mahakamani kabla ya muda wa miaka miwili kupita tangu wanandoa hao waoane,isipokuwa kwa ruhusa/hati ya mahakama tu.Hati hiyo ya mahakama itatolewa ikiwa imethibitika kuwa mwombaji ana hali ngumu isiyo ya kawaida,isiyoweza kuvumilika kwa muda huo wa miaka miwili
ITAENDELEA KESHO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment