Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, January 26, 2013

VURUGU ZA MASASI MTWARA

WATU WAWILI WAUAWA NI KATIKA VURUGU ZILIZOIBUKA BAADA YA MADEREVA WA BODABODA KUVAMIA KITUO CHA POLISI KUSHINIKIZA WENZAO WAACHIWE HURU TUNAAMBIWA SASA VURUGU ZIMETULIA POLISI WAMEFANIKIWA KUDHIBITI Endelea kuwa nasi

No comments:

Post a Comment