Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, January 29, 2013

TALAKA NO 1

Nchini Tanzania sheria inayotawala masuala ya kuachana na kutengana ni sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. KUTENGANA Ni kitendo cha wanandoa(Mume na mke) kwa amri ya mahakama au hiari yao wenyewe kuishi mbalimbali kwa muda.Kutengana kwa wanandoa hutokana na wanandoa hao kutoelewana.Mume au mke ana haki ya kuomba kutenganishwa na mwenzake.Baada ya muda fulani wanandoa hao wanaweza kurudiana tena au kuachana kabisa ITAENDELEA KESHO...............

No comments:

Post a Comment