Nchini Tanzania sheria inayotawala masuala ya kuachana na kutengana ni sheria ya Ndoa ya mwaka 1971.
KUTENGANA
Ni kitendo cha wanandoa(Mume na mke) kwa amri ya mahakama au hiari yao wenyewe kuishi mbalimbali kwa muda.Kutengana kwa wanandoa hutokana na wanandoa hao kutoelewana.Mume au mke ana haki ya kuomba kutenganishwa na mwenzake.Baada ya muda fulani wanandoa hao wanaweza kurudiana tena au kuachana kabisa
ITAENDELEA KESHO...............
No comments:
Post a Comment