Mmoja wa wakazi wa jijini Mbeya ambaye hakufahamika jina lake mara moja akiwa amelewa kiasi cha kushindwa kutembea kama alivyokutwa na Lyamba Lya Mfipa maeneo ya Ilemi Darajani jijini Mbeya.
Baadhi ya wakazi wakiendelea kumshangaa alipokuwa akishindwa kunyenyuka ili aendelee na safari.Ilikuwa Januari Mosi 2015 majira ya saa Kumi jioni.
PICHA NA ERASTO KIKWARA WA Lyamba Lya Mfipa
No comments:
Post a Comment