Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, February 26, 2016

HABARI NJEMA KWA WASOMAJI RIWAYA!





Kitabu Cha Riwaya ya kusisimua ya MASIKINI MIMI DEO KALIMANZIRA kinapatikana sokoni nchini kote.Tayari kimekwishawasili katika mikoa ya Mbeya,Rukwa na Katavi.Pata nakala yako sasa upate uhondo wa Riwaya hii ya kusisimua iliyotungwa na Leonard Mubali Mwandishi wa BBC.


Kitabu kimefika tayari maeneo ya Kahama,Kibondo,Ngara na Kasulu.Usambazaji unaendele unaendelea kulingana na makubaliano na mawakala kutokana na vigezo vilivyopo.

No comments:

Post a Comment