Kitabu Cha Riwaya ya
kusisimua ya MASIKINI MIMI DEO KALIMANZIRA kinapatikana sokoni nchini kote.Tayari kimekwishawasili katika mikoa ya Mbeya,Rukwa na Katavi.Pata nakala yako sasa upate uhondo wa Riwaya hii ya kusisimua iliyotungwa na Leonard Mubali Mwandishi wa BBC.
Kitabu kimefika tayari
maeneo ya Kahama,Kibondo,Ngara na Kasulu.Usambazaji unaendele unaendelea
kulingana na makubaliano na mawakala kutokana na vigezo vilivyopo.
No comments:
Post a Comment