Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, December 29, 2017

DOGO JANJA KUPAGAWISHA IRINGA MKESHA WA MWAKA MPYA.

Sehemu ni moja tu Iringa pale #club_vip tutapindua mwaka kibazazi na wastaarabu wote huku hsti miliki ya burudani mikononi mwa @dogojanjatz #kiingilio10,000/-... tuuuuu.
Ni siku ya mkesha wa mwaka mpya trh 31december 2017 milango wazi kuanzia SAA 2usiku.Usimwache jirani atakulaumu huyooooo!!!!!



No comments:

Post a Comment