Supervisor wa Kampuni ya Barazani Entertainment wilaya ya Rungwe,Joseph Wikula akihakiki DVD za Filamu ya Queen Of Masai baada ya kukabidhiwa mgawo wa wilaya yake tayari kuwasambazia wateja waliokwisha nunua kupitia simu zao.
Meneja wa Kampuni ya Barazani Entertainment mkoa wa Mbeya,Joachim Nyambo(kushoto) akikabidhi DVD za Filamu ya Queen Of Masai kwa Supervisor wa Kampuni hiyo wilaya ya Rungwe,Joseph Wikula tayari kuwakabidhi mawakala kwaajili ya kuwasambazia wateja waliokwisha nunu filamu hiyo kupitia simu zao.
Supervisor wa Kampuni ya Barazani Entertainment kanda namba 1 jijini Mbeya,Venance Matinya akihakiki DVD za Filamu ya Queen Of Masai baada ya kukabidhiwa mgawo wa wilaya yake tayari kuwasambazia wateja waliokwisha nunua kupitia simu zao.
No comments:
Post a Comment