Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, December 17, 2017

FILAMU YA QUEEN OF MASAI ILIVYOINGIA MBEYA KWA KISHINDO

Supervisor wa Kampuni ya Barazani Entertainment wilaya ya Rungwe,Joseph Wikula akihakiki DVD za Filamu ya Queen Of Masai baada ya kukabidhiwa mgawo wa wilaya yake tayari kuwasambazia wateja waliokwisha nunua kupitia simu zao.

Meneja wa Kampuni ya Barazani Entertainment mkoa wa Mbeya,Joachim Nyambo(kushoto) akikabidhi DVD za Filamu ya Queen Of Masai kwa Supervisor wa Kampuni hiyo wilaya ya Rungwe,Joseph Wikula tayari kuwakabidhi mawakala kwaajili ya kuwasambazia wateja waliokwisha nunu filamu hiyo kupitia simu zao.

 Supervisor wa Kampuni ya Barazani Entertainment kanda namba 1 jijini Mbeya,Venance Matinya akihakiki DVD za Filamu ya Queen Of Masai baada ya kukabidhiwa mgawo wa wilaya yake tayari kuwasambazia wateja waliokwisha nunua kupitia simu zao.




No comments:

Post a Comment