Monday, March 10, 2014
SHAMRA SHAMRA ZA SHEREHE YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATA YA ILEMBO NA MASOKO
Wanawake wakishindana kuvuta kamba na wanaume.Kundi la wanawake lilionyesha umahiri mkubwa na kuweza kushinda mchezo huu wakiwabwaga wanaume kama inavyoonekana katika picha zinazofuata
Mgeni rasmi Diwani wa kata ya Ilembo wilayani Mbeya Patrick Mwasenga akihutubia wakazi wa kata hizo mbili waliohudhuria sherehe zilizoandaliwa na kanisa la Anglikana kupitia mradi wa kuopinga ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa watoto unaoendeshwa kwa ufadhili wa watu wa marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment