Niseme tu ni aibu kubwa kwa taifa kama Tanzania ambalo ni juzi tu limetoka kuonesha namna lilivyowekeza katika suala la ulinzi wa mipaka,raia na mali zake katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano kwa mbwembwe za Vifaru,helkopta za kivita na nyingine nyingi inaonekana linashindwa kumteketeza mbu huyu anayeendelea kulitikisa taifa kwa kueneza homa ya Dengue
No comments:
Post a Comment