Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, May 15, 2014

AIBU HIII

Niseme tu ni aibu kubwa kwa taifa kama Tanzania ambalo ni juzi tu limetoka kuonesha namna lilivyowekeza katika suala la ulinzi wa mipaka,raia na mali zake katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano kwa mbwembwe za Vifaru,helkopta za kivita na nyingine nyingi inaonekana linashindwa kumteketeza mbu huyu anayeendelea kulitikisa taifa kwa kueneza homa ya Dengue

No comments:

Post a Comment