Monday, May 19, 2014
HALMASHAURI YA JIJI YATOA AJIRA KWA MGANGA WA JADI KUMSAKA CHATU
Mganga wa Jadi Mazoea Hamis kutoka mkoani Pwani akitumia dawa zake kumsaka nyoka aina ya Chatu anayesadikiwa kuwepo kandokando ya mto Meta na kuhatarisha maisha ya wakazi wa maeneo ya jirani na wapita njia
Hapa akionesha njia ambayo chatu huyo amekuwa akiitumia akiwa katika safari.
Hapa akizungumza na waandishi wa habari waliofika eneo la tukio kushuhudia utafutaji wa nyoka huyo
Waandishi wa habari wakiondoka eneo la tukio baada ya kuona jitihada za kumpata nyoka huyo zimegonga mwamba na kuacha harakati zikiendelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment