Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, May 19, 2014

HALMASHAURI YA JIJI YATOA AJIRA KWA MGANGA WA JADI KUMSAKA CHATU

Mganga wa Jadi Mazoea Hamis kutoka mkoani Pwani akitumia dawa zake kumsaka nyoka aina ya Chatu anayesadikiwa kuwepo kandokando ya mto Meta na kuhatarisha maisha ya wakazi wa maeneo ya jirani na wapita njia Hapa akionesha njia ambayo chatu huyo amekuwa akiitumia akiwa katika safari. Hapa akizungumza na waandishi wa habari waliofika eneo la tukio kushuhudia utafutaji wa nyoka huyo Waandishi wa habari wakiondoka eneo la tukio baada ya kuona jitihada za kumpata nyoka huyo zimegonga mwamba na kuacha harakati zikiendelea.

No comments:

Post a Comment